Local,Normal News,

Arajiga apewa mechi ya RS Berkane

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Jan 2025
Arajiga apewa mechi ya RS Berkane

Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Mohamed Mkono, Kassim Mpanga na Nasir Salum wameteuliwa na CAF kuchezesha mchezo wa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kati ya RS Berkane (Morocco) dhidi ya Stellenbosch FC (Afrika Kusini) utakaochezwa Uwanja wa Berkane Januari 19, 2025

Arajiga atakuwa mwamuzi wa kati akisaidiwa na Mkono na Mpanga huku Nasir akiwa mwamuzi wa akiba

Arajiga ameendelea kupeperusha vyema bendera ya Tanzania upande wa waamuzi kwani ameendelea kuaminiwa na CAF kwa kupewa mechi kubwa ngazi ya klabu na timu za Taifa

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’