Wakati dirisha dogo la usajili likifungwa Januari 15, Azam Fc imethibitisha kuachana na nyota wawili wa kigeni Yannick Bangala na Cheikh Sidibe
Bangala tayari amejiunga na klabu yake ya zamani AS Vita wakati Sidibe akikumbana na 'Thank You' huku akiwa bado anasaka timu ya kuendelea kuitumikia
Sidibe huenda akarejea Ivory Coast baada ya kukosa timu ndani ya ligi kuu ya NBC
Azam Fc imeongeza nyota wawili dirisha dogo Landry Zouzou beki kutoka Ivory Coast na kiungo mshambuliaji Zidane Sereri



