Manchester United wana matumaini ya kukamilisha makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Sporting na Sweden Viktor Gyokeres, 26, licha ya nia ya Arsenal. (Independent)
The Gunners pia ni miongoni mwa klabu zinazotaka kumsajili kiungo wa kati wa Rosenborg raia wa Norway Sverre Nypan, 18. (Telegraph)
Chelsea wanamfuatilia winga wa Manchester United na Argentina Alejandro Garnacho, 20,..... download Xtra 90 App



