Kikosi cha Simba jioni ya leo kitashuka uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili CS Constantine katika mchezo wa kuhitimisha hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho (CAF CC)
Ni mechi ya kuilinda heshima ya Tanzania katika mashindano ya CAF, Simba ikiwa klabu pekee iliyofuzu robo fainali msimu huu
Hesabu za vijana wa kocha Fadlu Davids ni kushinda mchezo huo ili kuhakikisha wanakwenda..... download Xtra 90 App



