Manchester City wanafikiria kumsajili kwa mkopo kiungo wa Brazil Douglas Luiz, 26, ingawa Juventus inashinikiza wajibu wa kumsaini ili kujumuishwa katika mpango huo uliopendekezwa. (Athletics)
Vilabu vya ligi ya Saudi Arabia bado vina nia ya kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Vinicius Jr, 24, nchini humo - huku mtendaji mkuu wa ligi hiyo akisema kuhama ni "suala la muda"...... download Xtra 90 App



