Local,Normal News,Simba

Simba na wababe nane waliotinga robo fainali CAF CC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Jan 2025
Simba na wababe nane waliotinga robo fainali CAF CC

Mechi za makundi kombe la Shirikisho la CAF (CAF CC) zimehitimishwa jana na sasa kinachosubiriwa ni droo ya hatua ya robo fainali

Simba itaendelea kupeperusha bendera ya Tanzania hatua ya robo fainali baada ya kuongoza kundi A ikiungana na RS Berkane (Morocco), Zamalek(Misri) na USM Alger(Algeria) kama vinara wa makundi

Timu zilizofuzu katika nafasi ya pili ni CS Constantine (Algeria), Asec Mimosas (Ivory Coast), Stellen Bosch (Afrika Kusini) na Al Masry (Misri)

Katika droo ya robo fainali Simba itapangwa dhidi ya timu moja miongoni mwa tatu zilizomaliza nafasi ya pili katika kundi B,C na D

Kwa maana Simba itacheza dhidi ya Stellenbosch, ASEC au Al Masry mechi za robo fainali zikitarajiwa kupigwa mwezi March na habari njema ni kuwa Simba itaanzia ugenini na kumalizia nyumbani

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’