Juzi klabu ya Singida Black Stars ilitangaza kumsajili mlinda lango Amas Obasogie (22) raia wa Nigeria akitokea klabu ya Fasil Kenema ya Ethiopita
Taarifa ya Singida BS haikuishia katika utambulisho tu, bali walithibitisha kumchukua mchezaji huyo kwa makuliano maalum na klabu ya Yanga
Afisa Habari wa Klabu hiyo, Hussein Masanza alisema wameingia makubaliano maalum na Yanga kumchukua..... download Xtra 90 App



