Napoli inamuwania Alejandro Garnacho, Aston Villa yakataa ombi la West Ham la kumsajili Jhon Duran, Manchester United wako mbioni kumsajili Patrick Dorgu kutoka Lecce na kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti anatarajiwa kuondoka majira ya joto
Napoli wana matumaini ya kufikia mkataba wa pauni milioni 50 kumsaini winga wa Manchester United na Argentina Alejandro Garnacho, 20. (Corriere..... download Xtra 90 App



