Baada ya kukamilisha malengo ya kuongoza kundi A katika michuano ya kombe la Shirikisho (CAF CC), kocha mkuu wa Simba Fadlu Davids alitoa mapumziko ya siku nne kwa wachezaji wake
Kesho kikosi cha Simba kinatarajiwa kurejea kambini kwa ajili ya mchezo wa Kombe la FA, pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tabora United unaotarajiwa kupigwa Februari 2, mwaka huu, katika Uwanja Ali Hassan..... download Xtra 90 App



