Local,Normal News,Singida

Singida BS yafafanua waliopewa uraia wa Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Jan 2025
Singida BS yafafanua waliopewa uraia wa Tanzania

Msemaji wa Singida Black Stars Hassan Masanza amethibitisha kuna baadhi ya wachezaji wao wa kigeni wameomba uraia wa Tanzania lakini klabu hiyo haijahusika kuwashawishi na kuwa wamechukua maamuzi hayo kwa utashi wao

Jana zilisambaa taarifa kuhusu wachezaji Emmanuel Keyekeh (27) raia wa Ghana, Arthur Bada (22) raia wa Ivory Coast, Amas Obasogie (22) raia wa Nigeria na Damaro Camara (21) raia wa Guinea kupewa uraia wa Tanzania baada ya kukamilisha taratibu zote za Uhamiaji

Masanza amesema Singida BS haina mamlaka ya kubadili uraia wa mchezaji, kama klabu iliwapa ushirikiano wachezaji hao katika kukamilisha adhma yao ya kuwa Watanzania

"Ni kweli, baadhi ya wachezaji wetu wameomba uraia wa Tanzania kwa ridhaa yao, jambo limeenda vizuri na limekamilika. Sisi hatuna mamlaka ya kumbadilishia mchezaji uraia, wao walionyesha nia, walifuata taratibu za mamlaka husika na sisi tukawasapoti," alisema Masanza

Taarifa zaidi imebainisha kuwa TFF inakusudia kuwajumuisha nyota hao katika kikosi cha timu ya Taifa kitakachoshiriki michuano ya CHAN na Afcon baadae mwaka huu

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’