Msemaji wa Singida Black Stars Hassan Masanza amethibitisha kuna baadhi ya wachezaji wao wa kigeni wameomba uraia wa Tanzania lakini klabu hiyo haijahusika kuwashawishi na kuwa wamechukua maamuzi hayo kwa utashi wao
Jana zilisambaa taarifa kuhusu wachezaji Emmanuel Keyekeh (27) raia wa Ghana, Arthur Bada (22) raia wa Ivory Coast, Amas Obasogie (22) raia wa Nigeria na Damaro Camara (21)..... download Xtra 90 App



