Klabuu ya KenGold, Jumatano Januari 29 itafanya Tamasha la MAKARASHA DAY mkoani Mbeya ili kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi katika uwanja wa Sokoine
Baada ya kufanya usajili mkubwa katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, timu hiyo imepania kujinusuru na kuteremka daraja wakianza na tukio hilo kama sehemu ya hamasa kuelekea mechi za duru ya pili zinazoanza Februari..... download Xtra 90 App



