Baada ya mapumziko ya siku chache, kikosi cha Yanga jana kilirejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kombe la Shirikisho la CRDB hatua ya 64 bora dhidi ya Copco Fc
Mchezo huo utapigwa Jumamosi, Januari 25 katika uwanja wa KMC Complex
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema baada ya kuondoshwa katika michuano ya ligi ya mabingwa, wanapaswa kukusanya..... download Xtra 90 App



