Mshambulizi wa Manchester United Marcus Rashford, 27, yuko tayari kupunguziwa mshahara katika jaribio la kutaka kuhamia Barcelona mwezi Januari. (Daily Star Sunday)
Uwezo wa Barcelona kumsajili mchezaji wa kimataifa wa Uingereza Rashford unaweza kuimarika iwapo beki wa Denmark Andreas Christensen, 28, ataondoka klabu hiyo. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)





