Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), wamempitisha Rais wa baraza hilo, Wallace Karia, kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)
Uchaguzi Mkuu wa CAF unatarajiwa kufanyika Machi, mwaka huu nchini Morocco. Karia, ambaye ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu..... download Xtra 90 App



