Kocha Mkuu wa Yanga Sead Ramovic amesema hawakuwa na bahati kufuzu robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa lakini sasa wanafanya kazi kubwa katika uwanja wa mazoezi ili kujiimarisha na kuwa bora zaidi
Akizungumza baada ya mchezo wa CRDB Cup dhidi ya Copco Fc jana ambao Wananchi waliibuka na ushindi wa mabao 5-0, Ramovic aliwapongeza wachezaji wake kwa ushindi huo na pia akazungumzia..... download Xtra 90 App



