Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Singida BS

Tanzania kundi C Afcon 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Jan 2025
Tanzania kundi C Afcon 2025

Droo ya michuano ya Afcon 2025 imefanyika Morocco jana ambapo Tanzania imeangukia kundi C. Katika kundi hilo pia zimo Uganda, Tunisia na Nigeria

Ni timu mbili tu ambazo zitasonga mbele raundi ya 16 bora, Stars itahitaji kupambana kuwa miongoni mwa timu hizo

Soka la Afrika kwa sasa limebadilika sana, neno HAIWEEZEKANI halina nafasi

Haya hapa makundi yote;

GROUP A  

  • Morocco
  • Zambia
  • Mali
  • Comoros

GROUP B

  • Misri
  • Afrika Kusini
  • Angola
  • Zimbabwe

GROUP C

  • Nigeria
  • Tunisia
  • Uganda
  • Tanzania

GROUP D

  • Senegal
  • DR Congo
  • Benin
  • Botswana

GROUP E

  • Algeria
  • Burkina Faso
  • Uquatorial Guinea
  • Sudan

GROUP F

  • Ivory Coast
  • Cameroon
  • Gabon 
  • Msumbji

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’