Azam Fc ilihitimisha ratiba ya mechi za jana kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex
Ushindi huo uliifanya Azam Fc ipunguze gap l pointi dhidi ya vinara Yanga baada ya kufikisha alama 39, alama 6 nyuma ya vinara hao
Leo mechi mbili zitapigwa ambapo Coastal Union itaikaribisha JKT Tanzania huku Singida BS ikicheza na Kagera Sugar




