Mechi mbili Ligi Kuu kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 7th February 2025


Mechi mbili Ligi Kuu kupigwa leo

Azam Fc ilihitimisha ratiba ya mechi za jana kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex

Ushindi huo uliifanya Azam Fc ipunguze gap l pointi dhidi ya vinara Yanga baada ya kufikisha alama 39, alama 6 nyuma ya vinara hao

Leo mechi mbili zitapigwa ambapo Coastal Union itaikaribisha JKT Tanzania huku Singida BS ikicheza na Kagera Sugar


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.