Manchester United wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Ipswich Town Liam Delap, 21, ikiwa hawataweza kumsajili mshambuliaji wa Sporting na Uswidi Viktor Gyokeres, 26, au mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 26, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Galatasaray. (GiveMeSport)
..... download Xtra 90 App



