Jana Pamba Jiji waliiduwaza Azam Fc katika dimba la CCM Kirumba wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
Bao lililowazamisha Azam FC lilifungwa na kiungo mkongwe, Deus David Kaseke dakika ya 86, akigusa mpira wa kwanza baada tu ya kuingia kutokea benchi kuchukua nafasi ya kiungo Mrundi, Shassir Nahimana
Ushindi huo wa pili mfululizo wakitoka..... download Xtra 90 App



