Timu ya Dodoma Jiji imepata ajali ya basi ikitokea Ruangwa mkoani Lindi kuja jijini Dar es Salaam, baada ya jana tu kumaliza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao Namungo FC, uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.
Katibu Mkuu wa Dodoma Jiji, Fortunatus Johnson amesema ajali hiyo imetokea katikati ya Nangurukuru na Somanga, huku akiweka wazi majeruhi ni wengi ila hakuna taarifa..... download Xtra 90 App



