Mashabiki Simba walivyomtuza Chasambi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th February 2025


Mashabiki Simba walivyomtuza Chasambi

Juzi mashabiki wa Simba waliizima kampeni ya kumchafua kinda Ladark Chasambi kibabe wakimtuza fedha baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons

Katika mchezo huo Chasambi alifunga moja ya mabao katika ushindi wa mabao 3-0 ambao uliirejesha Simba kileleni mwa msimamo wa ligi

Baada ya kushambuliwa sana mitandaoni baada ya kujifunga katika mchezo dhidi ya Fountain Gate, mshabiki wa Simba wameonyesha kumuunga mkonomchezaji huyo wakimpa thamani

Katika mpira wa miguu, makosa ni sehemu ya mchezo kwani kila mchezaji hukosea kwa nyakati tofauti


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.