Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya KMC na wamejiandaa kushinda mchezo huo
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo, Hamdi alisema anatambua mashabiki wa Yanga wanahitaji alama tatu hapo kesho baada ya kukosa ushindi katika mchezo uliopita
Amesema ari na morali ya wachezaji wote iko juu na wako tayari kwa..... download Xtra 90 App



