Local,Normal News,Yanga, KMC, Tabora, KenGold

Yanga yaibamiza KMC 6-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Feb 2025
Yanga yaibamiza KMC 6-1

Yanga imeendeleza ubabe katika ligi kuu ya NBC ikiichapa KMC mabao 6-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa KMC Complex

Stephane Aziz Ki alikuwa shujaa wa Yangaa katika mchezo huo akifunga hat-trik na kubeba tuzo ya nyota wa mchezo

Mabao mengine ya Yanga katika mchezo huo ambao waliutawala kwa muda mwingi yalifungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Israel Mwenda

Bao pekee la kufutia machozi kwa upande wa KMC lilifungwa na Redemtus Mussa

Ushindi huo umeirejesha Yanga kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 49

Katika mechi nyingine zilizopigwa leo, Tabora United ililazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Ken Gold wakati Kagera Sugar ikipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate

Prisons wamepoteza mechi nyumbani kwa kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Namungo Fc

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’