Yanga imeendeleza ubabe katika ligi kuu ya NBC ikiichapa KMC mabao 6-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa KMC Complex
Stephane Aziz Ki alikuwa shujaa wa Yangaa katika mchezo huo akifunga hat-trik na kubeba tuzo ya nyota wa mchezo
Mabao mengine ya Yanga katika mchezo huo ambao waliutawala kwa muda mwingi yalifungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Israel Mwenda





