Local,Normal News,Pamba, Mashujaa, Pamba

Kocha Azam Fc akosa usingizi kipigo cha Pamba Jiji

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Feb 2025
Kocha Azam Fc akosa usingizi kipigo cha Pamba Jiji

Kocha Mkuu wa Azam Fc Rachid Taoussi amesema kipigo dhidi ya Pamba Jiji kilimfanya akose usingizi kwa siku mbili huku akifanya vikao na wachezaji wake kuhakikisha hawarudii makosa waliyofanya katika mchezo huo

Leo Azam Fc itakuwa dimba la Azam Complex kuikabili Mashujaa Fc katika mwendelezo wa ligi kuu ya NBC

"Sijalala siku mbili kutokana na kupoteza mchezo dhidi ya Pamba Jiji. Nimefanya kikao na wachezaji tusije kufanya makosa kama tuliyofanya mechi iliyqopita na tuwe tayari kwa mchezo dhidi ya timu ngumu ya Mashujaa," alisema Taoussi

Kipigo dhidi ya Pamba Jiji kiliwapunguza kasi Azam Fc katika malengo yao ya kuwania ubingwa msimu huu

Pengine leo waanahitaji kushinda dhidi ya Mashujaa Fc ambayo imekuwa na mwendo wa kusuasua ikicheza mechi 6 bila ushindi

Mchezo mwingine unaopigwa leo, Pamba Jiji itakuwa mwenyeji wa Coastal Union uwanja wa CCM Kirumba

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
47m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’