Kocha Mkuu wa Azam Fc Rachid Taoussi amesema kipigo dhidi ya Pamba Jiji kilimfanya akose usingizi kwa siku mbili huku akifanya vikao na wachezaji wake kuhakikisha hawarudii makosa waliyofanya katika mchezo huo
Leo Azam Fc itakuwa dimba la Azam Complex kuikabili Mashujaa Fc katika mwendelezo wa ligi kuu ya NBC
"Sijalala siku mbili kutokana na kupoteza mchezo dhidi ya Pamba Jiji...... download Xtra 90 App



