Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi za mzunguuko wa 20 zitaunguruma
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga, watakuwa uwanja wa nyumbani KMC Complex kumenyana na Singida Black Stars katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali
Mechi kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars haijawahi kuwa nyepesi. Mara ya mwisho timu hizo zilipokutana katika mchezo wa duru ya kwanza..... download Xtra 90 App



