Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amewapongeza wachezaji wake kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa CCM Kirumba jana
Licha ya ushindi huo, Hamdi amesema wachezaji wake walipata wakati mgumu kukabiliana na hali ya eneo la kuchezea la uwanja wa CCM Kirumba
"Nawapongeza wachezaji wangu kwa ushindi huu muhimu lakini niseme wazi,..... download Xtra 90 App



