Mkufunzi wa Simba Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo dhidi ya Yanga yamekamilika na wako tayari kwa mchezo huo
Akizungumza katika mkutano na wanahabari, Fadlu amesema ari na morali ya wachezaji kuelekea mchezo huo iko juu na kila mmoja 'akiutaka mchezo'
"Tumekuwa na wakati mzuri wa kujiandaa na mchezo huu. Ari ya wachezaji iko juu kila mchezaji anaonyesha utayari wa..... download Xtra 90 App



