Kufuatia mfululizo wa matukio ambayo yalipelekea klabu ya Simba kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Benjamin Mkapa jana, Bodi ya Ligi imetangaza kuahirishwa mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



