Local,Normal News,Yanga, Simba

TPLB yabadili msimamo, yaahirisha Dabi ya Kariakoo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Mar 2025
TPLB yabadili msimamo, yaahirisha Dabi ya Kariakoo

Kufuatia mfululizo wa matukio ambayo yalipelekea klabu ya Simba kushindwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Benjamin Mkapa jana, Bodi ya Ligi imetangaza kuahirishwa mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Taarifa iliyotolewa na Bodi mapema leo imebainisha kuwa kwa sasa Kamati inapitia ushahidi mbalimbali wa matukio yaliyojiri jana usiku kabla ya kutoa maamuzi ya kilichojitokeza

Aidha Bodi imetangaza kuahirisha mchezo huo na sasa utapangiwa tarehe nyingine

Simba ilitangaza msimamo wake mapema kutoshiriki mchezo huo hadi pale wale walioihujumu Simba kuchukuliwa hatua

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’