Chelsea wanapanga kutoa ofa kwa kiungo wa kati wa Sunderland Muingereza Jobe Bellingham, 19. (Sun via Metro)
Manchester City wanazungumza na wawakilishi wa mchezaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz wakati wakiangalia uwezekano wa kumnunua winga huyo wa Ujerumani, mwenye umri wa miaka 21. (Football Insider)
Real Madrid na Bayern Munich pia wana nia ya kumsajili Wirtz, ambaye huenda..... download Xtra 90 App



