TFF yafungia viwanja vitatu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 10th March 2025


TFF yafungia viwanja vitatu

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vitatu vinavyotumiwa na timu za Ligi Kuu kwa kutokidhi vigezo

Viwanja hivyo ni CCM Kirumba (Mwanza), Jamhuri (Dodoma) na LITI (Singida)


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.