Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vitatu vinavyotumiwa na timu za Ligi Kuu kwa kutokidhi vigezo
Viwanja hivyo ni CCM Kirumba (Mwanza), Jamhuri (Dodoma) na LITI (Singida)

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vitatu vinavyotumiwa na timu za Ligi Kuu kwa kutokidhi vigezo
Viwanja hivyo ni CCM Kirumba (Mwanza), Jamhuri (Dodoma) na LITI (Singida)
