Uwanja wa Benjamin Mkapa wafungiwa kwa muda

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th March 2025


Uwanja wa Benjamin Mkapa wafungiwa kwa muda

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeufungia uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kutokana na eneo la kuchezea 'pitch' kupungua ubora wake

Kulingana na taarifa iliyotolewa na TFF, uwanja huo unatakiwa kufanyiwa maboresho ya haraka ili kuepuka kufungiwa kwa muda mrefu

Mchezo wa robo fainali kombe la Shirikisho (CAF CC) kati ya Simba dhidi ya Al Masry umepangwa kupigwa April 09 katika uwanja huo

Hata hivyo CAF imeiagiza TFF kutuma uwanja mbadala ambao Simba inaweza kutumia katika mchezo huo ikitokea uwanja wa Mkapa hautakuwa tayari


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.