Manchester United wametoa ofa ya euro 70m (Β£58.9m) ili kumsajili mshambuliaji wa Brazil Raphinha, 28, kutoka Barcelona katika majira ya msimu wa joto. (Fichajes.net)
Manchester City italazimika kulipa angalau pauni milioni 70 ikiwa inataka kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa Eduardo Camavinga, 22, kutoka Real Madrid. (Football Insider)
Newcastle wanataka kumbakisha mshambuliaji wa..... download Xtra 90 App



