Wakati hatma ya beki kisiki Che Fondoh Malone ikiwa bado mikononi mwa madaktari wanaomtibu, beki aliyeziba nafasi yake Chamou Karaboue amesema hakuna kitakachoharibika kwani yeye na Abdulrazak Hamza wataendelea kuilinda ngome ya Simba
Che Fondoh alipata majeraha katika mchezo dhidi ya Azam Fc, kuna taarifa kuwa aina ya majeraha ambayo yanamkabili Che Fondoh, huenda yakamuweka nje kwa muda..... download Xtra 90 App



