Jumatatu ijayo, March 24 2025 klabu ya Singida Black Stars inatarajiwa kuzindua uwanja wake mpya huku ikiwaalika mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga katika uzinduzi huo
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema baada ya mapumziko ya takribani siku sita, kikosi cha Yanga kitarejea mazoezini Jumatano, kujiandaa na mchezo huo pamoja na mechi nyingine..... download Xtra 90 App



