Local,Normal News,Yanga, Singida

Yanga kurejea mazoezini Jumatano, kuiwinda Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Mar 2025
Yanga kurejea mazoezini Jumatano, kuiwinda Singida BS

Jumatatu ijayo, March 24 2025 klabu ya Singida Black Stars inatarajiwa kuzindua uwanja wake mpya huku ikiwaalika mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga katika uzinduzi huo

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema baada ya mapumziko ya takribani siku sita, kikosi cha Yanga kitarejea mazoezini Jumatano, kujiandaa na mchezo huo pamoja na mechi nyingine zinazofuata

"Baada ya mchezo wetu wa kombe la FA dhidi ya Coastal Union, uongozi ulitoa siku sita za mapumziko kwa wachezaji"

"Timu inatarajiwa kurejea mazoezini siku ya Jumatano kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki dhidi ya Singida Black Stars na mechi za kuhitimisha msimu"

"Wachezaji wote ambao hawako katika majukumu ya timu za Taifa watarejea mazoezini chini ya benchi la ufundi linaloongozwa na kocha Miloud Hamdi," alisema

March 29 Yanga itacheza mechi ya hatua ya 16 bora kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Songea Unted na kisha kuivaa Tabora United katika mchezo wa ligi kuu April 1 uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
46m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’