Beki wa Liverpool Virgil van Dijk amesema haogopi kuhusu mustakabali wake wa kuendelea kubakia Liverpool huku nahodha huyo wa Reds akikiri kuwa yuko tayari endapo hataendelea kusalia klabuni hapo baada ya mwisho wa msimu
Mkataba wa sasa wa Van Dijk unamalizika Juni na mazungumzo na Liverpool bado yanasuasua
Beki huyo mwenye umri wa miaka 33, aliyekuwa na mafanikio kwa miaka saba..... download Xtra 90 App



