International,Transfer News,Liverpool

Van Dijk kusalia Liverpool?

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Mar 2025
Van Dijk kusalia Liverpool?

Beki wa Liverpool Virgil van Dijk amesema haogopi kuhusu mustakabali wake wa kuendelea kubakia Liverpool huku nahodha huyo wa Reds akikiri kuwa yuko tayari endapo hataendelea kusalia klabuni hapo baada ya mwisho wa msimu

Mkataba wa sasa wa Van Dijk unamalizika Juni na mazungumzo na Liverpool bado yanasuasua

Beki huyo mwenye umri wa miaka 33, aliyekuwa na mafanikio kwa miaka saba Anfield, atafikia kikomo ikiwa hakuna mkataba mpya utakaosainiwa

Van Dijk, ambaye jana aliiongoza Liverpool katika fainali ya Kombe la Ligi dhidi ya Newcastle na kukubali kipigo cha mabao 2-1, katika Uwanja wa Wembley, hajaficha nia yake ya kusalia Merseyside

"Sitaki kuleta wasiwasi wowote , ninaweka kichwa changu chini na kuangazia kwa matumaini kushinda michezo 10 ijayo. Nina uhakika ifikapo mwisho wa msimu kutakuwa na habari njema, lakini ni aina gani ya habari sina uhakika," alisema

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’