Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ana matumaini ya kufanya vizuri katika mchezo wa robo fainali kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry ambapo mechi ya mkondo wa kwanza itapigwa April 02 huko Misri na marudiano kupigwa dimba la Benjamin Mkapa April 09
Fadlu amesema kikosi chake sasa kimeimarika tofauti na walivyoanza msimu, wanajua watakabiliwa na mechi ngumu Misri lakini watahitaji..... download Xtra 90 App



