Mgeni rasmi wa tukio la uzinduzi wa Uwanja wa AirtelStadium ni Mhe Hamisi Mwinjuma (Mwana FA), Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
Uwanja huo unaomilikiwa na klabu ya Singida Black Stars, utazinduliwa March 24 tukio litakaloambatana na mchezo wa kirafiki kati ya Singida Black Stars dhidi ya Yanga




