Mwana FA kuzindua Airtel Stadium

Joel JJ By Joel JJ β€’ 19th March 2025


Mwana FA kuzindua Airtel Stadium

Mgeni rasmi wa tukio la uzinduzi wa Uwanja wa AirtelStadium ni Mhe Hamisi Mwinjuma (Mwana FA), Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

Uwanja huo unaomilikiwa na klabu ya Singida Black Stars, utazinduliwa March 24 tukio litakaloambatana na mchezo wa kirafiki kati ya Singida Black Stars dhidi ya Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.