Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali amesema kikosi kinaendelea na maandalizi kabambe kuelekea mchezo wa hatua ya 16 bora kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Bigman Fc ambao utapigwa Alhamisi March 27 katika uwanja wa KMC Complex
Ahmed amesema Simba inafanya maandalizi ya mechi mbili, wakati wakijifua kuikabili Bigman Fc, pia wanajiandaa kwa mchezo wa kombe la Shirikisho la..... download Xtra 90 App



