Local,Normal News,Simba, Bigman

Simba yaipania Bigman Fc CRDB Cup

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Mar 2025
Simba yaipania Bigman Fc CRDB Cup

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali amesema kikosi kinaendelea na maandalizi kabambe kuelekea mchezo wa hatua ya 16 bora kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Bigman Fc ambao utapigwa Alhamisi March 27 katika uwanja wa KMC Complex

Ahmed amesema Simba inafanya maandalizi ya mechi mbili, wakati wakijifua kuikabili Bigman Fc, pia wanajiandaa kwa mchezo wa kombe la Shirikisho la CAF (CAF CC) dhidi ya AL Masry utakaopigwa April 02 huko Misri

Ahmed amesema mchezo dhidi ya Bigman Fc ni muhimu sana kwao na wamejipanga kucheza mechi yenye ushindani

"Kikosi kinaendelea na maandalizi kuelekea mchezo wa kombe la FA dhidi ya Bigman Fc ambao utapigwa Alhamisi, katika uwanja wa KMC Complex"

"Mechi hii ni muhimu sana kwetu, na itakuwa sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wa CAF dhidi ya Al Masry utakaopigwa wiki ijayo"

"Wachezaji wote wako tayari kwa mechi ya kiushindani dhidi ya Bigman Fc, sisi hatuwadharau wapinzani wetu kwani tunajua kufuzu hatua ya 16 katika michuano hii ya FA sio jambo jepesi"

"Tunaamini ni timu nzuri ya lazima tujiandae vyema kukabiliana nao ili tuweze kushinda na kusonga mbele hatua inayofuata katika michuano hii," alisema Ahmed

Bigman Fc ni timu inayoshiriki ligi ya Championship kwa sasa. Timu hii zamani ilikuwa ikiitwa Mwadui Fc

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’