Kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Morocco usiku wa kuamkia leo Jumatano March 26, kimevuruga hesabu za timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kufuzu kwa michuano ya kombe la Dunia 2026
Aidha, ushindi huo kwa Morocco umeifanya kuwa timu ya kwanza barani Afrika kukata tiketi ya kushiriki kombe la Dunia mwakani huko Marekani
Stars ilikuwa na kipindi cha kwanza bora ikicheza kwa..... download Xtra 90 App



