International,Transfer News,

Tetesi za soka Ulaya, Jumatano March 26 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 Mar 2025
Tetesi za soka Ulaya, Jumatano March 26 2025

Atletico Madrid wana nia ya kumsajili mlinzi wa kati wa Tottenham mwenye umri wa miaka 26, Cristian Romero. (Sky Sports)

Everton wanatazamiwa kuanza mazungumzo na mlinzi wa Uingereza Jarrad Branthwaite, 22, kuhusu mkataba mpya ili kuzuia ofa kutoka kwingine. (I Sport)

Manchester United inaweka nia ya kumnunua Branthwaite tu msimu wa joto ikiwa beki wa kati wa Uingereza Harry Maguire, 32, ataondoka Old Trafford. (Yahoo)

Arsenal wanajiandaa kumpa Gabriel, 27, mkataba mpya ili kuzuia kunyakuliwa kwa beki huyo wa kati wa Brazil kutoka Saudi Arabia. (Football Insider)

Real Madrid pia wanavutiwa na mlinzi wa Ufaransa William Saliba, 24, ambaye ni mshirika wa mlinzi wa kati Gabriel katika klabu ya Arsenal. (Mirror)

The Gunners, kwa upande wake, wameungana na Liverpool katika mbio za kumsajili mlinzi wa Uholanzi Jorrel Hato mwenye umri wa miaka 19 kutoka Ajax. (Team talk)

Atalanta wameweka bei ya pauni milioni 50 kwa mshambuliaji Ademola Lookman, 27, huku Manchester United na Newcastle United zikiwa na nia ya kumpata. (Tutomercato)

Aston Villa wameanza mazungumzo na kiungo wa kati wa Ufaransa Boubacar Kamara, 25, kuhusu kandarasi mpya. (Telegraph)

Crystal Palace wanaendelea na mazungumzo kuhusu mkataba mpya wa meneja Oliver Glasner, huku kukiwa na nia ya kutaka kumnunua raia huyo wa Austria kutoka RB Leipzig. (Football Insider)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
47m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’