Atletico Madrid wana nia ya kumsajili mlinzi wa kati wa Tottenham mwenye umri wa miaka 26, Cristian Romero. (Sky Sports)
Everton wanatazamiwa kuanza mazungumzo na mlinzi wa Uingereza Jarrad Branthwaite, 22, kuhusu mkataba mpya ili kuzuia ofa kutoka kwingine. (I Sport)
Manchester United inaweka nia ya kumnunua Branthwaite tu msimu wa joto ikiwa beki wa kati wa Uingereza Harry..... download Xtra 90 App



