Local,Normal News,Yanga, Tabora

Yanga yapania alama tatuTabora United

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Mar 2025
Yanga yapania alama tatuTabora United

Baada ya kujihakikishia tiketi ya kutinga robo fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Songea United, kikosi cha Yanga kinaelekeza nguvu zake kwenye ligi kuu ya NBC

Jumanne, April 01 Yanga itaondoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Tabora wanakokabiliwa na mchezo dhidi ya Tabora United utakaopigwa Jumatano katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema wanakwenda Tabora wakiwa dhamira ya kulipa kisasi dhidi ya walina asali hao ambao mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam walipata ushindi wa mabao 3-1 dimba la Azam Complex

Kamwe ni miongoni mwa maafisa wa Yanga waliotangulia Tabora kuwahamasisha mashabiki wao kuelekea mchezo huo

Kamwe amesema wanaichukulia mechi hhii kama fainali na hakuna matokeo zaidi ya ushindi ambayo Wananchi watahitaji

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’