Jumatano April 02 katika uwanja wa Suez ulioko Mji wa Ismailia, wawakilishi pekee wa Tanzania waliobaki katika michuano ya CAF, Simba watatupa karata muhimu kuikabili Al Masry katika mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)
Ni mechi ngumu lakini muhimu sana kwa Simba ugenini, kwani mechi hii inabeba hatma ya Mnyama kuvuka hatua ya robo fainali..... download Xtra 90 App



