Local,Normal News,Yanga, Coastal

Pacome aizima Coastal Union

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Apr 2025
Pacome aizima Coastal Union

Yanga imebeba alama zote tatu uwanja wa KMC Complex ikiibukaa na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Bao la dakika ya 34 lililofungwa Pacome Zouzoua akimalizia krosi ya Maxi Nzengeli lilitosha kuihakikishia Yanga alama tatu muhimu ambazo zinawafanye wajiimarishe kileleni kwa tofauti ya alama 7 baada ya kufikisha alama 64

Ni mchezo ambao pengine Yanga ingeweza kupata ushindi mnono zaidi lakini mlinda lango wa Coastal Union alikuwa kikwazo kwao

Pacome ameendelea kutamba akifunga bao lake la nane msimu huu huku Nzengeli nae akiongeza asisti ya nane

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
6m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
35m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’