Inaelezwa uongozi wa Simba umetenga Tsh Milioni 500 za bonasi ya wachezaji iwapo watashinda dhidi ya Al Masry na kufuzu nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)
Mabosi wa Simba wanaongoza hamasa kuelekea mchezo huo utakaopigwa kesho Jumatano, April 09 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Jana mabosi wa Simba walishuhudia mazoezi yaliyofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa,..... download Xtra 90 App



