Katika kilele cha burudani ya soka barani Afrika, jana Klabu ya Simba ya Tanzania iliandika historia nyingine kwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penati 4-1 dhidi ya Al Masry ya Misri, katika mchezo wa marudiano uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkali ulimalizika kwa Simba..... download Xtra 90 App



