Namungo imethibitisha kumsimamisha kipa wao, Beno Kakolanya kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu huku mchezaji huyo akisubiri hatma yake baada ya suala lake kupelekwa kamati ya maadili
Kakolanya anaitumikia Namungo kwa mkopo msimu mmoja akitokea Singida Black Stars ambapo mkataba wake na Singida Black Stars unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu





